Ajali za Barabarani
Jumla ya ajali 28
zimeripotiwa mwezi Mei, 2026. Wilaya ya Kati imeripotiwa kuwa na ajali zaidi,
ajali sita (6) sawa na asilimia 21.4 ukilinganisha na wilaya nyingine.
|
|
|
|
Idadi ya ajali za barabarani zilizotokea kwa
mwezi Mei, 2026 zimeongezeka kwa asilimia 21.7 na kufikia ajali 28 kutoka ajali
23 zilizoripotiwa mwezi Aprili 2026
Mwezi wa Mei 2026, Wilaya ya Kati imeripotiwa
kuwa na ajali zaidi, ajali sita (6) ikilinganishwa na wilaya ya Kaskazini ‘A’
na Magharibi ‘B’ zilizoripotiwa kuwa na ajali nne (4) kwa kila wilaya kwa mwezi
wa Aprili 2026.
Published on June 18, 2026